View Duration: 3:00
ktnkenya.tv Wanasema kazi ni kazi, kwani mchagua jembe si mkulima, ni msemo kijana mmoja mjini Kisumu ameamua kuufwata kikamilifu. Anajikimu kimaisha kwa kufanya kazi ya kuwarembesha kinadada mitaani na majiani, kinyume na ndani ya maduka kama ilivyo desturi. Joel omotto na taarifa hiyo.
View Duration: 2:20
ktnkenya.tv The exact date for the renovation work of the Kisumu municipal stadium is still not clear after the three parties involved failed o reach an agreement fallowing a closed door meeting Thursday afternoon in the lakeside town of Kisumu. Representatives from football Kenya, sports ministry ...
View Duration: 1:30
ktnkenya.tv Dereva Ian Duncan ndiye mshindi wa mkondo wa tatu wa mbio za magari nchini baada ya kumaliza wa kwanza kule kisumu. Hata hivyo mbio hizo zilikatizwa baada ya ajali iliyomhusisha dereva Sandeep Jandu na mwenzake Gureeop Mahengra waliobingiria mara kadhaa na kumgongonga mtoto aliyepoteza ...
View Duration: 3:58
www.ktnkenya.tv Mhula wa kwanza katika shule kote nchini unakaribia kukamilika huku wanafunzi wakijiandaa kwa mitihani. Hata hivyo sio wote watakaokalia mitihani hiyo kwa amani kutokana na hofu na matatizo yanayowakumba. Mwanahabari Joel Omotto alizuru shule ya Rachiiro iliyoko eneo bunge la Kisumu ...
View Duration: 2:23
Wagonjwa wa figo kutoka mkoa wa nyanza na magharaibi wanahofia maisha yao baada ya kuharibika kwa mashine za kusafisha figo maarufu kama dialysys katika hospitali kuu ya mkoa wa nyanza. Inasemekana kuwa machine hizo ziliharibika wiki mbili zlilizopita hivyo basi wagonjwa hawajaweza kufanyiwa ...